Kwakweli kwenye sekta ya Teknolojia hasa huduma za kifedha hizi kampuni zinatia hasira sana.
Jana nimefanya muamala kwa T-Pesa (TTCL) kwenda HaloPesa (Halotel) haukukamilika, nikawapigia simu huduma kwa wateja, masaa 24 yamepita muamala haujakamilika na pesa haijarudi kwenye akaunti.
Leo...