BARUA YA WAZI KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
“Kwa ajili ya Ukweli, Amani, Maridhiano na Mustakabali wa Taifa”
Na: Steven Mmbogo - 24 Novemba 2025
Mheshimiwa Rais,
Ninakuandikia barua hii kwa unyenyekevu, kwa uwazi, na kwa heshima ya hadhi yako kama Mkuu wa Nchi, lakini pia kwa ujasiri...