Katibu wa NEC organaizesheni na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Issa Gavu amezindua mradi wa Maduka ya chama Cha mapinduzi yaliopo stendi kuu ya Zamani huku akiwaasa wanachama pamoja na wafabiashara kuitunza milango (flemu) hizo.
Akizungumza wakati wa Kuzindua na kuweka jiwe la msingi flemu hizo...