Kama Taifa tuna mambo ya msingi sana mbele yetu kutumia muda wetu kurushiana matusi.
Bila ya kujali itikadi zetu tuyakatae yote yanayodhalilisha utu wa mtu, bila ya kujali mlengwa au mlenga kwa cheo, mhusika au chama.
Mambo kama haya:
Kauli kama:
1. "Tulizo Mat*ko wewe!"
2. "U baji na M@vi...