Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameishauri serikali kubadilisha ratiba ya safari za treni ya reli ya kisasa inayotumia umeme (SGR) kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma na kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam, ili treni hizo ziwasiIi kwenye miji hiyo saa...