Mtiania urais wa Zanzibar kupitia Chama Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir (kushoto), amesema iwapo atapitishwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kupata ridhaa ya wananchi kuwa Rais, kila Mzanzibari atalipwa Sh500,000 kwa mwezi ili kuondoa daraja lililopo la wenye nacho, kwa kuwa wengine...