Aliyekuwa Mbunge wa Moshi Vijijini Prof.Patrick Ndakidemi amewaambia wajumbe wa Moshi vijijini kuwa yeye ni Mbunge wa Vitendo na sio wa Maneno na hivyo kuomba Wajumbe wa CCM kumpa nafasi kwa mara nyingine tena
Soma pia: Kuna vitu vikubwa ambavyo Wanasiasa hasa wa CCM, vitendo vinaongea zaidi ya...