Wakuu,
Siku ya leo ndo ile siku ambayo Mahakama itaanza kusikiliza kesi ya CHADEMA baada ya kushtakiwa na wanachama wao wa Zanzibar kwamba wanatumia mali za chama vibaya
==============
Alichoandika Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche
Kesi ya kina Said Issa ni Kesi ya kisiasa kujaribu...