Wakuu,
Japo wamepatikana wawili watatu ambao wanasimama na wananchi na kukemea ukatili uliofanywa.
Nimefarijika sana kuona video hii
---------------------
Mkurugenzi Mkuu wa Al- Hikma na Mwenyekiti wa Mashindano ya Qur’aan Tukufu Ulimwenguni, Sheikh Nurdin Kishk akiwa anazungumza hivi...