Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC), imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kutoka Mtwara-Mbambabay pamoja na matawi yake ya Liganga na Mchuchuma yenye jumla ya urefu wa kilometa 1,000.
Taarifa hiyo...