serikali inajali elimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Manara: Serikali ya CCM inajali elimu, awapatia wanafunzi elfu kumi

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haji Sunday Manara, amesema kuwa Serikali ya CCM imeendelea kuthibitisha kujali elimu kwa vitendo, kwa kuwekeza kwenye misingi imara iliyopelekea kuzalisha wasomi wengi nchini. Manara alitoa kauli hiyo leo aliposhiriki...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…