Mwenyekiti mstaafu wa vijana wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) na Mwenyekiti wa Taasisi ya Islaah Islamic Foundation Dkt. Seif Hassan Sule amekosoa mwenendo wa viongozi wa dini kutoa kauli alizodai kuwa zinaingilia mamlaka za serikali.
Soma Pia: Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania...