Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, anatarajiwa kuanza kifungo chake cha miaka mitano gerezani Jumanne, kufuatia hukumu ya kula njama ya kupokea fedha haramu kutoka kwa Rais wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, kwa ajili ya kampeni yake ya urais mwaka 2007.
Sarkozy, ambaye alikuwa...