Sijui kama zina jina jingine zaidi ya tulilolizoea tokea tukiwa wadogo!
Arusha tulikuwa tukiziita SALADI. Na Mwanza napo pia zianitwa hivyo, japo ni watu wachache wanaozifahamu, na hata upatikanaji wake ni adimu. Lakini ukifika soko kuu la
Mwanza unaweza ukabahatika kuzipata.
Kwa kawaida hizo...