saipulan ramsey

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Mwenezi wa CCM Arusha aahidi kuwalipia nauli abiria wakapige kura

    Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Arusha, Saipulan Ramsey, amewaasa maafisa usafirishaji (bodaboda) kujitokeza kwa wingi katika zoezi la upigaji kura linalotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Ramsey amesema baada ya bodaboda kupiga kura, wanapaswa kuendelea na shughuli zao huku wakihamasisha abiria...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…