Ufafanuzi wa Mh Rostam Aziz kuhusiana na umiliki wa Migodi unadhihirisha kuwa Polepole ametengeneza uzushi wa kuchafua biashara za Mh Rostam Aziz na inaweza kumgharimu Polepole kwa kiasi kikubwa huko mbeleni kwasababu anazungumza kwa kuzusha bila kuwa na ushahidi kamili
Baadhi ya Watanzania...