RAIS SAMIA TUVUSHE,MATOKEO TUMEYAONA .
Na.Amon Nguma.
Uhai na uendelevu wa viumbe hai na jambo lolote lile Duniani halitegemei uzao tu au mwanzo wake bali ni uwezo mkubwa wa kulinda uhai wa kiumbe au jambo hilo, kulea na kuendeleza katika hatua zote za makuzi/maendeleo mpaka kufikia hatua ya...