https://www.youtube.com/live/G7yv_AM6JAA?si=n0iy7ZZrOM3x13x-
Mwenyekiti wa Tume huru ya Uchaguzi Tanzania: Tume imekamilisha uboreshwaji wa daftari la wapiga kura kwa awamu mbili, awamu ya kwanza ilianza tarehe July 20 2024 na kukamilika March 25, 2025, na awamu ya pili ilianza May 1...
CHADEMA ni chama cha umma kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi.
Ni vema ratiba ya Uchaguzi wa Viongozi wake ikatolewa mapema ili kuepuka undugunization huko mbele ya safari.
Igeni CCM ambako ni marufuku ndugu kubebana.
Wednesday, ubarikiwe sana!