Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu, Ramadhan Njala Jumanne ameweka wazi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Geita vijijini kupitia chama cha ACT Wazalendo.
Bw. Ramadhan ameweka wazi baadhi yaa vipaumbele vyake ambapo amesema lengo lake kubwa ni kuhakikisha...