Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa Oktoba 29, 2025, watu walipigwa risasi wakiwa majumbani mwao, huku Mkuu wa Nchi akisema nguvu iliyotumika ndiyo iliyopaswa kutumika.
Profesa Lipumba ameyasema hayo katika maadhimisho ya Kumbukizi ya Mauaji ya...