polisi kuficha sura

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wanasheria wapinga polisi kuficha sura maandamano Kenya

    Chama cha Wanasheria nchini Kenya (LSK) kimemkosoa vikali Waziri wa Mambo ya Ndani, Kipchumba Murkomen, kwa kutoa kauli inayopingana na uamuzi wa Mahakama Kuu uliopiga marufuku polisi kuficha utambulisho wao wakati wa maandamano. Kauli hiyo ya Murkomen imetolewa Septemba 16, 2025, katika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…