Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa
Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas?
Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani?
Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke
Na kila msaliti yeyote...