Aisee, Ngoja nipumue kidogo mwaka jana mwezi wa sita nilitongoza mdada kitaa, akanikubalia tukawa wapenzi.
Sasa huyo dada hakuniambia kwamba ni Trafiki nilikuja kugundua nilivyopita Ubungo Mataa na kumuona.
Sasa kuna siku mwezi wa 11 mwaka jana nikavusha mdada ghetto akatufumania, nilionba...