Wakuu mnakumbuka hoja ilipowasilishwa bungeni ili kujadili kuhusu masuala ya usalama nchini na utekaji uliokithiri mpaka kusababisha kifo cha Ali Kibao? Nini kilitokea?
Tulia alishupaza shingo, utekaji likawa jambo la kipuuzi, ambalo halifai kwenda kwa hati ya dharura, halafu hapa kila mbunge...