Ndugu Paul Douglas Mwakajumba, Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa 2022 - 2027 kutoka Wilaya ya Kyela Mkoa wa Mbeya ametoa pongezi kwa Madiwani wa Kata zote nchini kwa kuteuliwa kugombea nafasi za Udiwani huku akiwasihi kuwa wasiishie tu kufurahia kuteuliwa kugombea bali kwa sasa wajikite zaidi...