Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Jimbo la Segerea Mkoani Dar Es salaam, Bw. Patrick Asenga amesema taarifa zinazosambaa mtandaoni zikidai kuwa amefurushwa kwenye kikao cha Jimbo hilo Jumatatu Aprili 14, 2025 ni taarifa potofu, akiahidi kutoa Shilingi Milioni 1 kwa...