Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kwa miaka mitano iliyopita, serikali ya awamu ya sita imefanikiwa kuongeza pato la Wavuvi kutoka Shilingi Bilioni tisa na Milioni mia nne hadi kufikia Shilingi...