Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) - Mwanza, aliyeripotiwa kupotea mnamo tarehe 09 Oktoba 2025.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Kamanda wa Polisi wa...