Nyumba ya mjane wa marehemu Mchungaji Christopher Mtikila, Bi. Georgia Christopher Mtikila, iliyopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam, imekumbwa na taharuki baada ya watu wanaodaiwa kufika nyumbani kwake kutoa baadhi ya mali zake nje na kisha kubadilisha vitasa vya milango wakidai kuwa nyumba...