Wakuu,
Hatimaye ametamka japokuwa tulikuwa tunajua toka alipojitokeza na nguo za CCM.
====
Mbunge wa viti Maalumu kundi la Vijana kutoka Mkoa wa Singida kupitia CHADEMA Nusrat Hanje amewatangazia wananchi wa mkoa huo na Watanzania kwaujumla kuwa anahama chama hicho na kujiunga na Chama cha...