Mgombea Udiwani Kata ya Forest jijini Mbeya kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Yassin Ngonyani amezindua Kampeni kwa kuweka vipaumbele vyake vya kusaidia makundi mbalimbali ya wafanyabiashara ndogondogo katika kuwainua kiuchumi ikiwemo kuwasaidia kupata mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri ya jiji...