Habari ndugu zangu.
Hapa naenda moja kwa moja kwenye mada husika.
Nihusishe na kichwa cha habari hapo juu.
Katika mambo ya vijana kuoa, wengi wetu huwa hatujawa stable kwenye suala la kiuchumi kwa sababu bado tunakuwa kwenye hatua za mwanzo za kujitafutia.
Je, Baada ya kuoa, maisha...