ndoa huleta furaha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wazazi wa Binti wagoma kupokea Mahari

    Nitangulize samahani zangu kwa wakubwa nitakao wakwaza lakini uzi huu ni kutaka ushauri tu hvyo naomba mawazo yenu Iko hivi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kwa muda wa miaka mi 3 sasa, Tulianza mahusiano tukiwa mkoa mmoja (X), then yeye alipata kazi mkoa mwingine (y) ila ni mikoa karibu...
  2. Ana miaka 46 anataka kunioa, je hii ni sawa kwa umri wangu?

    NRNE Huyu mbaba ni mtu mzima mwenye umri miaka 46, kaniambia nikikubali kuwa naye yupo tayari kunioa, mimi nina miaka 23 tu, je ni sahihi? Kaniambia mtoto wake wa kwanza ana miaka 16, aliachana na mkewe sasa hivi anaishi mwenyewe. Naombeni mawazo yenu wadau
  3. S

    Hivi mtu anakuwa katika hali gani ya akili hadi anakubali kuolewa mke wa tatu, wa nne nk?

    Juzi hapa nilikuwa Uturuki. Ni nchi ya watu ambao dini yao inaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja, lakini wanawake katakata hawakubali kuwa katika ndoa ya mke zaidi ya mmoja, na wanaume wao wanaelewa hilo. Nimewaheshimu sana wanawake wa Uturuki kwa kujitambua kwa namna hii. Hili ni jambo ambalo...
  4. Je, Ulioa katika nyakati gani ya Uchumi?

    Habari ndugu zangu. Hapa naenda moja kwa moja kwenye mada husika. Nihusishe na kichwa cha habari hapo juu. Katika mambo ya vijana kuoa, wengi wetu huwa hatujawa stable kwenye suala la kiuchumi kwa sababu bado tunakuwa kwenye hatua za mwanzo za kujitafutia. Je, Baada ya kuoa, maisha...
  5. Nilipooa suala la upungufu wa nguvu za kiume nalisikia tu kwenye radio

    Wakuu, Hofu ilikuwa imetanda ktk maisha yangu ,kila nikikutana na dada wa watu naishia dk 10 namaliza na matokeo yake ananiambia nimemchafua Hakika nilidhani Nina upungufu wa nguvu za kiume,nilipanga kuwaambia wazazi nyumbani waanze kunitibisha lakini nafsi ilikataa katakata 🏃 Baada ya kuoa...
  6. Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga! Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana...
  7. Kwanini Uchumba Sugu unadumu kuliko Ndoa?

    Ni jambo ambalo sijawahi kuliwazia ila ndio ukweli kwa kizazi hichi kilichoanzia miaka ya 90 kwenda mbele, ndoa zinavunjika kila kukikucha ila wachumba sugu bado wanaleta, zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo binafsi nadhani zinachochea hali hii: 1. Mwanamke akiolewa hubweteka sana maana...
  8. Mwanaume jenga utamaduni wa kurudi nyumbani na mfuko wa sokoni

    Ukiwa umeoa / nyumbani una familia hakikisha kila unaporudi home unarudi na mfuko umejaa vitu vya sokoni. Ukijenga huo utamaduni itakuongezea heshima kwenye nyumba yako hata kabla haujaingia ndani ya nyumba yako utaona mke au watoto wanakukimbilia kukupokea.
  9. B

    Swali kwa wanawake: Ni umri gani mwanaume akifikia kama hajaoa hawezi kuoa tena labda awe na pesa nyingi?

    Habarini, Hili swali nimewauliza hasa hasa wadada wa humu watoe their honest opinions, ila hata wanaume wa humu mnaweza kujibu, Kwenye jamii imezoeleka kuwa wadada wanakua na thamani kwenye macho ya wanaume kuanzia miaka 17, thamani yao inakua kwenye peak kati ya miaka 18-23 (kwenye hiki...
  10. P

    Mke wangu angekuwa anaongea nusu ya anavyoongea na boss wake labda mahusiano yetu yangekuwa na sura tofauti kabisa

    Leo nimemsikia wife akiongea na boss wake namna alivyokuwa anamjibu kwa heshima may be hapa nyumbani pangekuwa hata robo tu ya anavyoongea tungekuwa Bora Sana
  11. Imani-Potofu ya Kwamba ‘Wasiwasi Ndo Akili’ ni Kiinimacho tu: Uchambuzi wa Kiutafiti kwa Kaulimbiu ya Kataa-Ndoa na Nyinginezo za Mtindo Huo

    Katika dunia ya leo, wasiwasi na mashaka mara nyingi huchanganywa na akili au hekima. Watu wengi wanaamini kuwa kuwatilia mashaka wengine, kuepuka kujitolea, na kukataa mahusiano yanayohitaji uaminifu – kama ndoa – ni ishara za kuwa na akili nyingi au “uwezo wa kuyajua maisha.” Makala hii...
  12. Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Maana ya Ndoa Ndoa ni muunganiko kati ya mwanamume na mwanamke, walio amua kwa ridhaa yao wenyewe kuishi pamoja kama mke na mume mpaka mwisho wa maisha yao ya ndoa. Aina za ndoa kwa mujibu wa sheria Kuna aina mbili tu za ndoa zinazotambulika na sheria ya ndoa Tanzania Ndoa ya mke mmoja na mume...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…