Leo, Juni 11, 2026, nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zinasoma bajeti zao za mwaka wa fedha 2026/27. Nchi hizo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Somalia.
Bajeti ni mpango wa serikali unaoeleza kiasi cha fedha...
Nchi wanachama wote wameshakubali refinery ya mafuta kutoka Uganda iijengwe Tanga. Cha ajabu Tanzania hadii sasa bado wanashauriana ijengwe Tanga au Dubai.
Rais ya wa Kenya Ruto amesema kwamba Nchi yake imeshakubali, uganda wamekubali, Rwanda wamekubali. Bado Tanzania ndo hawqjakubali refinery...