Polepole sio pole tena, usiku huhuu tayari kashawalipua CCM na mume wao Rostam Azizi.
Utajiri wa nchi anakabidhiwa Rostam alafu utamskia mama anasema analinda mali za nchi kwa maslahi mapana ya umma, Polepole anauliza maslahi gani hayo mapana?
Leo katukumbusha tena kuwa tumeuzwa tumepigwa bei...