Mwenza ambaye anakuja kwako kama mzigo kisha anakuwa anataka kukutumia kwa maslahi binafsi kisha arudiane na ex wake,au atakuacha ghafla bila sababu zozote za msingi huwa mwenye sifa zifuatazo.
1.ANAKUWA ANAPITIA KIPINDI KIGUMU SANA KIFEDHA HIVYO ANAHITAJI MSAADA WAKO TU
Kumchagua mwenza ambaye...