Wakati ambao mchakato wa kampeni za Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu ukiendelea, Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kivule, lilipo Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam, Ndugu Massaburi Dougras Didas ameungwa mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...