Madereva bodaboda wanaofanya shughuli zao katika eneo la Ujiji, Kigoma, wamelalamikia changamoto ya mikataba inayowakabili, ikiwemo kulazimika kurejesha Sh10,000 kila siku kwa muda wa miezi 18, hali inayokuwa ngumu zaidi wanapopata ajali na kushindwa kuendelea na kazi.
Wakizungumza na mgombea...