Zanzibar kuna raisi, Tanganyika raisi ni nani? Wapeni Tanganyika serikali yao mambo bado mabichi Hali ikiwa mbaya zaidi hatutaweza kuzuia, kuziba ufa ni Bora kuliko kujenga ukuta.
Kama tumeona Kuna haja ya kuwa na waziri wa muungano tena makosa yanarudi kulekule ni mzanzibar hapo kwa kweli...