Balozi 16 zaitaka Tanzania kuachia wafungwa wa kisiasa, kusitisha utekaji na kurudisha miili ya waliouawa
Balozi za nchi 16 pamoja na Ujumbe wa Umoja wa Ulaya wametoa tamko kuonyesha huzuni na wasiwasi mkubwa kufuatia vifo, majeruhi na madai ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu...