Chande: Tunaahidi uwazi na uadilifu kwenye uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa ‘Matukio ya Uvunjifu wa Amani’ wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Chande Othman, amesema tume imepewa jukumu la kufanya uchunguzi huru, wa kina...