Salaam Wakuu, Mbunge wa Mbezi Beach nimekuja tena mbele yenu na kero ya wananchi wangu🌚🌚
Kama mnavyoona kwenye video hapo hapo kuna gari imekwama imekwama asubuhi hii, hayo maji yametuama hapo sababu ya mtaro mbele ya shule ya shule hapo kuziba, kutokana na njia hiyo kuendelea kutumika magafi...