Moja ya mwananchi wa Somelo, Mkoa wa Ilala amembana Diwani kwa maswali magumu akitaka kufahamu yapi ameyafanya diwani huyo tangu alipoingia madarakani. Wakati muda huo hakuna kilichofanyika hadi sasa, Mwanachi huyo akamaliza kwa kumwambia diwani mwaka huu hatukutaki tena.
Pia soma Kuelekea...