My take:
1. Kumbe Viongozi wananamna zao na uwezo wakuwatoa baadhi ya watu wao Gerezani?!
2. Viongozi wafundishwe Namna ya kuzungumza na tai ya kuzungumza
--------------
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda, amesema marehemu Dennis Busulwa maarufu kama Ssebo atakumbukwa...