Mkurugenzi wa Taasisi ya Twende Pamoja na Mama Sports Promotion na Mkurugenzi wa Makunduchi Villa Mohamed Haji, leo Juni 29, 2025 amechukua fomu ya nafasi ya ubunge wa Jimbo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CCM Wilaya ya Kigamboni, Mohamed...