Baada ya Chama cha Wananchi (CUF), kuitisha mkutano wa waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu Buguruni jijini Dar es Salaam Februari 17, umeibuka mzozo kati ya viongozi na makada walioshitaki kwa msajili, hali iliyowafanya polisi kuvamia mkutano huo kabla haujaanza.
Chanzo cha...