Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi cha Euro milioni 20 (sawa na takribani Shilingi bilioni 60) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mipya ya kuzalisha umeme kwa kutumia nishati ya jua na taka.
Soma pia: Ajira 31,148...