Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amebaini maendeleo chanya katika ujenzi wa madaraja ya dharura mkoani Lindi, wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi hiyo ambayo imefikia karibu asilimia 90 ya utekelezaji wake.
Madaraja haya yamejengwa katika maeneo yaliyoathirika sana na mvua, ikiwemo Somanga...