michael kamuhanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DCP Michael Kamuhanda Kuzikwa kesho Bukoba

    Salaam Wakuu, Hadi sasa sijapata Orodha ya Mtu yeyote wa kitaifa kuhudhuria Msiba wake. Japo alliwapania. Hata IGP hatakuwepo. Huyu Muhaya kesho Tarehe mbili anazikwa Bukoba Mkoani Kagera. Huyu Jamaa aliua ndugu yetu, waandishi wetu Daud Mwangosi kwa sifa. Sasa anaenda peke yake kaburini...
  2. TANZIA Naibu Kamishna Mstaafu wa Polisi (DCP) Michael Kamuhanda Afariki Dunia

    Naibu Kamishna Mstaafu wa Polisi (DCP) Michael Kamuhanda amefariki Januari 29, 2026 majira ya Asubuhi katika Hospitali ya Bugando Jijini Mwanza alikokuwa anapatiwa Matibabu. Huyu jamaa alokufa alizaliwa 1954 MY TAKE Huyu jamaa ndo aliamuru Mwandishi wa Habari wa CHANNEL TEN, Daud Mwangosi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…