Salaam Wakuu,
Hadi sasa sijapata Orodha ya Mtu yeyote wa kitaifa kuhudhuria Msiba wake. Japo alliwapania. Hata IGP hatakuwepo.
Huyu Muhaya kesho Tarehe mbili anazikwa Bukoba Mkoani Kagera.
Huyu Jamaa aliua ndugu yetu, waandishi wetu Daud Mwangosi kwa sifa. Sasa anaenda peke yake kaburini...