Habari za muda huu waungwana, naomba kutoa kero yangu haswa kwenye Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Kilosa, mimi ni mkazi wa Dumila. Kumekuwa na kero ya wafugaji wa Jamii ya Kimasai kuingiza ng'ombe kwenye mashamba ya watu yenye mazao bila hofu yoyote ile. Nasema hivi sababu nishalima Kimamba...