Wakuu habari za uzima, kwa wajuzi wa magari nataka kununua mercedes benz E class E350 au E300 ya 2015 naomba kujua pros and cons za hii gari. RRONDO Mad Max Mshana Jr JITU LA MIRABA MINNE Extrovert ,na wengine wajuzi wa magari nahitaji maoni yenu.
NB:Siyo gari ya kwanza kumiliki